Nchi mbili…
Tamaduni mbili…
Upendo mmoja
"KARIBU KWENYE HARUSI YETU"
Zimebaki
«Mungu ndiye aliyetuunganisha, japo tunatoka nchi tofauti. Leo, kwa upendo na imani, tunasherehekea kuwa sisi sasa ni mwili mmoja.»
UPENDO WETU HAUNA KIKOMO
Kwa upendo na furaha,
pamoja na familia zetu
WAZAZI WA BIBI HARUSI:
Marta Ferreira García
Mario Olivares Galván
WAZAZI WA BWANA HARUSI:
Elizabeth Melita Massawe
Patience Joachim Komba †
SIKILIZA WIMBO WETU
KANUNI YA MAVAZI
Mavazi ya Usiku:
Hii ni harusi ya usiku, hivyo tungependa muonekano wa heshima na wa kisasa.
AKINA MAMA/DADA: Gauni refu au gauni la cocktail. Nguo zenye mng’ao (glitter), satini na vitambaa vinavyovutia zinaruhusiwa
AKINA KAKA/BABA: Suti rasmi au koti la suti na suruali ya heshima. Tai au tai ya kipepeo (bow tie) si lazima, lakini zinakaribishwa sana. Viatu rasmi vya heshima.
MGUSO MAALUM
Ili kuendana na mazingira ya harusi, unaweza kunogesha muonekano wako kwa kutumia vitambaa vyepesi, urembo wa maua madogo madogo, rangi za kuvutia, au urembo wenye nakshi unaoendana na asili ya watanzania.
ILANI MUHIMU
Ili kuhakikisha faraja na utulivu wa sherehe hii, watoto hawataruhusiwa. Tunashukuru sana kwa uelewa wenu.
TAARIFA ZA BENKI
Kwa ajili ya zawadi za fedha kwani hakutakuwa na meza ya zawadi
Mpesa: Elizabeth Massawe — 0766621880
UTHIBITISHO WA KUHUDHURA
Tunataka kuhakikisha kuwa tuna mahali maalum kwa ajili yako.
Tujulishe kama utaweza kushiriki nasi
HASHTAG ZA INTAGRAM
Tunapenda kuona picha ulizopiga katika harusi yetu, tafadhali zitume hapa
#FeryDavid
#MéxicoYTanzania
#LoveVibes



Asante kwa kuwa sehemu ya siku hii kuu
¡Diseñamos la invitación para tu evento!
Visita: www.elgrandia.mx